Wednesday, November 22, 2023

MACHINGA NI VIJANA WETU" - KATIBU MKUU UVCCM CDE. LULANDALA

MACHINGA NI VIJANA WETU" - KATIBU MKUU UVCCM CDE. LULANDALA

πŸ“Mtwara
πŸ—“️ Novemba 22, 2023.

Picha πŸ“Έ
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM *Ndg. Faki Raphael Lulandala (MNEC)* ametembelea Soko la Mchinga _ Mkanaledi Lililopo Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara kusikiliza kero na changamoto za Machinga.

Aidha amekagua ofisi mpya za Soko la Machinga zinazojengwa na Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara.

Pamoja na mambo mengine Katibu Mkuu ameelekeza Umoja wa Vijana wa CCM nchi nzima kupitia Mkoa wa Mtwara kuhakikisha wanarejea kwa makundi ya vijana kurudisha majibu ya kero walizochukuwa kutoka kwa vijana.

#KaziIendelee 
#UVCCMKazini 
#KulindaNaKujengaUjamaa 
#SisiNaMamaMleziWaWana

Imetolewa na; 
*Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM Taifa*

No comments:

Post a Comment

Comments System

facebook

Disqus Shortname

π—‘π—π—œπ—” π—”π—¦π—œπ—Ÿπ—œ 𝗬𝗔 π—žπ—¨π—­π—¨π—œπ—” 𝗑𝗔 π—žπ—¨π—¦π—¨π—žπ—”π—₯π—œ

πŸ“ Chakula Chenye Wanga  ☑️Chakula chenye wanga hupatikana zaidi kutoka kwenye nafaka, mboga, maziwa ya mgando na matunda . ☑️Mw...